Wednesday 17 February 2016

MWANAHER YA MWANAHER YAKAMILIKA SOON ITAKUA MTAANI

 Baada ya kufanya vizuri kwenye filamu ya Pumu,mcheza filamu anaekuja juu kwa kasi Mwanaher amemaliza utengenezaji wa filamu ya Mwanaher aliyowashirikisha wa sanii nyota wa filamu nchini

 Akifunguka kiafrika bila hofu yoyote amesema amepania kuteka soko la filamu nchini kwa kufanya kazi nzuri zenye viwango vikubwa sana
amesema filamu hiyo amecheza na wasanii kama vile Stanley nsungu,Riyama Ally,Frola Mvungi na wengine wengi


No comments:

Post a Comment