Wednesday 31 December 2014

DIAMOND AMEWAI KUMUOMBA ALIKIBA WAPIGE PICHA,USHAHIDI HUU HAPA

 Kwenye picha hii Alikiba na Marlow walikua ndio mastaa wa kubwa kwa wakati huo na ukiangalia picha ni wazi Diamond ameomba kupiga hiyo picha na mastaa hao wakubwa kwenye muziki
 Pia picha hii Diamond yuko mbali na wenzake hivyo yeye ndio ameomba kupiga hiyo picha
 Pia picha hii inajieleza kabisa kua bwana mdogo Diamond ndio ameomba kupiga picha na Ali kiba
Hapa Diamond ameomba kukaa karibu na Ali kiba ili wapige picha na Alikiba anaonekana kabisa anaendelea na stori lakini bwana mdogo Diamond amemtolea macho mpiga picha hivyo yeye ndio ameomba kupiga hiyo picha

No comments:

Post a Comment