Monday 12 October 2015

AUNT EKIEL:NAFANYA CHOCHOTE KUKIDHI MAITAJI YANGU,NITAWAFURAISHA

 Filamu ya Mwajuma nipe ya Aunt Ezekiel imeingia mtaani leo ikisambazwa na steps entertainment,filamu hiyo ambayo amewashirikisha Mzee majuto,Stanley Nsungu na wengine wengi inaelezea jinsi msichana Mwajuma anavyoweza kujutolea chochote alicho nacho kukidhi mahitaji yake

Aint Ezekiel anasema 'Nafanya chochote ili  kukidhi mahitaji yangu,ni mazoea ya jamii yetu kudharau na kutowathamin wanawake,lakin si mimi Mwajuma nipe ni zaidi ya mwanamke chungu na tamu naifahamu lazima nitawafuraaisha kwa gharama yoyote ile"




No comments:

Post a Comment