Wednesday 1 February 2017

HII NDIO FUNZO INAYOTOKA JUMATATU HII







CHUKUA MUDA wako kidogo kutazama kipande cha filamu ya Funzo inyotoka jumatatu hii,ndani kuna Mwnaher,Chuchu Ansi,Aunt Ezekiel na wasanii wengine wengi hii hapa chki nayo

FUNZO YAMKUTANISHA MWANAHER,CHUCHU ANSI NA AUNT EZEKIEL

Filamu ya Funzo inatarajia kutoka jumatatu uku ikiwa imewakutanisha Mwanaher,Chuchu Ansi na Aunt Ezekiel ambao ni waigizaji grade 1 kwenye tasnia ya filamu bongo

filamu hiyo inayozunguzmia kuwa binadamu ndio kimbe bora kati ya viumbe vilivyoumbwa na mungu laiki mbali na kuwa na sheria lakini mtu anaweza kuishi kinyume na sheria

Akifunguka kiafrika bila hofu yoyote Mwanaheri anasema

"Mwanadamu ndio kiumbe bora kati ya viumbe vilivyo umbwa na mungu.Mbali ya kuwekewa sheria juu ya namna gani mtu anaweza kuishi baadhi ya binadamu wamekuwa wakiishi kinyume na sheria za mungu ila kwa sababu mungu ni mwenye huruma huwasamehe. Ila kaa ukijua kuwa kuna baadhi ya mipaka hairuhusiwi kuvukwa"

filamu hii itapatikana nchi nzima siku ya jumatatu tarehe 6 nwezi huu sio ya kukosa kabisa

WASTARA KUJA NA HAPENDEKI MWEZI HUU

Mcheza filamu grade 1 kwenye filamu za kibongo Wastara Juma anatarajia kuachia filamu yake ya Hapendeki mapema mwezi huu

filamu hiyo amewashirikisha  waigizaji wengi wageni kwenye kiwanda cha filamu nchini

Akifunguka kiafrika bila hofu yoyote amesema filamu hiyo inahusu matukio ya uswahilini na kwamba kuna timu mbili zilikua zinagombana mtaani ambazo ni timu Hapendeki ambayo yupo yeye na timu Zamoyoni ambayo amecheza Rehema muingizaji anaekuja juu kwa kasi

"Naomba mashabiki zangu Tanzania nzima wakae mkao wa kufurai maana filamu hii ninayokuja nayo sio mchezo nimebadilika sana hivyo ikitoka utakiwi kukosa  na hautajutia pesa yako