Thursday 11 August 2016

MAZIKO SAA SITA KUTOKA JUMATATU IJAYO





Filamu ya Maziko saa sita inaingia sokoni jumatatu 15.08.2016.filamu hiyo imechezwa na wasanii wengi wakali akiwemo Chuchu Ansi,Mzee Majuto na wengine wengi,inasambazwa na steps entertainment,usikose nakala yako

KESHO YANGU KUMTAMBULISHA SONNATA KWENYE TASNIA YA FILAMU BONGO







Filamu ya Kesho yangu kutoka kwa muongozaji mwenye uwezo mkubwa Tanzania Suleshi Marah inatoka tarehe 29 mwezi wa 8 inategemewa kufanya mapinduzi kwenye tasnia ya filamu bongo,kutokana na jinsi ilivyotengenezwa na wausika walivyo tendea haki stori hiyo



Kwenye filamu hiyo ambayo kuna msanii chipukizi Sonnata Nduka imechezewa mjini Dodoma na inasambazwa na Kampuni ya Steps entertainment