Friday 8 May 2015

MUTRAN:WOLPER AMENIPA TABU SANA KWENYE HUBA

 Mcheza filamu Mutrah Tamimu ambae anasumbua huvi sasa na filamu yake ya HUBA inayosambazwa na kampuni namba moja ya usambazaji Tanzania Steps Entertainment amesema Wolper amempa wakati mgumu walipokua wanaandaa filamu hiyo kutokana na mvuto wake.
 Akifunguka kiafrika bila hofu yoyote kwakua Tanzania ni nchi huru,amesema kuwa ilikua ngumu sana kucheza vipande vya kimapenzi na Wolper kutokana na urembo wake ila anashukuru kuwa ameweza na ameitendea haki filamu hiyo
 Kwenye filamu hiyo wamo pia Mzee Majuto pamoja na Neema ambao wameitendea haki sana,uku ikipigwa picha na Kabuti Onyango na kuongozwa na Leah Mwendamseke ambae pia ndio muandishi wa filamu hiyo
kwa mahitaji ya jumala na reja reja wasiliana kwa namba 0716 788 805 na 0713 570581 sio ya kukosa

No comments:

Post a Comment