Tuesday 21 April 2015

SABBY ANGEL:SIO RIZIKI ILIMTAKA MAJUTO

 Mcheza filamu za kitanzania Sabby Angel amesema filamu yake ya Sio Riziki imechukua baadhi ya matukio ambayo yamewai kumtokea kwenye maisha yake

Amesema wakati anajiandaa kufanya filamu hiyo alimtafuta muigizaji Kulwa Kikumba(Dude)na kumuelezea jinsi anavyotaka kufanya filamu hiyo ndio akamuandikia muongozo na kwenda nchini Kenya kwa ajili ya kuandaa filamu hiyo
"Sio Riziki ni filamu ambayo inazungumzia mapenzi kwa ujumla inamzungumzia msichana amabe yeye aliondoka nyumbani kwao na kwenda kutafuta maisha yake mwenyewe,wakati yupo kwenye pulukushani hizo anakutana na wanaume kadhaa ambao anawapenda lakini hawadumu nae kwenye mahusioano na kuona kwamba sio bahati yake ayani sio Riziki"

Stori ya filamu hii ilimtaka Mzee hivyo tukaona sio vibaya kumchukua Mzee Majuto kwenye hii filamu na kiukweli amefanya kitu kikubwa mbali na majutoto yupo pia Tino,Dude na wengine wengi filamu hii inapatikana Tanzania nzima jipatie nakala ayako halisi au wasiliana kwanamba 0716 788 805

No comments:

Post a Comment