Thursday 11 June 2015

SHAMSA FORD NA RAMMY GALIS WATIBUANA KISA KIKO HAPA

 Wacheza filamu wanaofanya vizuri kwenye tasnia ya filamu kwa hivi sasa Shamsa Ford na Rammy Galis wametibuana baada ya Rammy Galis kuonesha mapenzi ya dhati kwa mwanamke mwingine bila kujali kuwa Shamsa anamsaidia kwa kiasi gani
 Kitendo hicho kimefanya mpaka mdogo wake Rammy anaeitwa Kareem kujisikia vibaya kutokana na kaka yake kumsaliti Shamsa Ford
Baada ya Rammy kutafutwa kwenye simu yake kujibu mashitaka haya simu yake haikupokelewa na shamsa hakupatikana kabisa hewani

No comments:

Post a Comment