Monday 12 October 2015

LUCY KOMA AMERUDI NA "TANZANIA TO DENMARK AKIWA NA SLIM OMARY

 Muigizaji mkongwe kwenye tasnia ya filamu Lucy Komba amabae anapiga mziko nchini Denmark amerudi na filamu ya 'From Tanzania to Denmark akiwa na Slim Omary  na wenginie wengi kutoka nchini humo


Filamu hiyo inayomuhusu binti ambae alikenda Denmark na kukutana na misuko suko mingi kabla ajakutana na mpenzi wake na kuanza kuishi pamoja inasambazwa na kampuni ya steps entertainment pata nakala yako sasa

No comments:

Post a Comment