Muigizaji mkongwe kwenye tasnia ya filamu Lucy Komba amabae anapiga mziko nchini Denmark amerudi na filamu ya 'From Tanzania to Denmark akiwa na Slim Omary na wenginie wengi kutoka nchini humo
Filamu hiyo inayomuhusu binti ambae alikenda Denmark na kukutana na misuko suko mingi kabla ajakutana na mpenzi wake na kuanza kuishi pamoja inasambazwa na kampuni ya steps entertainment pata nakala yako sasa
No comments:
Post a Comment