Monday 23 November 2015

JB NA WEMA WAKUTANA TENA KWENYE FILAMU YA CHUNGU CHA TATU

Mcheza filamu mwenye jina kubwa Tanzania Wema Sepetu anatarajia kukutana tena na mkongwe wa fani hiyo Jacob Steven kwenye filamu ya chungu cha tatu

Filamu hiyo ambayo ina husu mwanadada Doreen (wema sepetu) an aingia kwenye mahusiano na wanaume wa tatu tofauti kwa kile anachoamini kuwa atapata mtoto na badala yake kupambana na visa na mikasa ya kusisimua

Kwenye filamu hiyo inayotoka mwezi ujao wamo pia Patcho,Mwamba,Mau na wengine wengi inatarajiwa kuasmbazwa na steps entertainment kwa jumla na reja reja wasiliana nao kwa namba 0713 570 581 au 0716 788 805

No comments:

Post a Comment