Monday 23 November 2015

KAJALA MASANJA"NAPENDA SANA KUCHEZA FILAMU,NDIO MAISHA YANGU

 Mcheza filamu mwenye jina kubwa Tanzania kwa uwezo wake wa kuigiza Kajala Masanja amesema anapenda sana kucheza filamu kwani ni moja ya vitu anavyovipenda sana kwenye maisha yake,

amesema tangu akiwa na umri mdogo amekua akipenda nakutamani kucheza filamu mara nyingi sana jambo ambalo akilifanya anajisikia faraja zaidi.
 "mimi napenda sana kucheza filamu yani sana natamani ata kwa mwaka nicheze filamu tano,yani filamu ni sehemu ya maisha yangu"
 Kajala Masanja amecheza filamu nyingi za zimependwa na watu wa lika zote,na kwa sasa anatamba sokoni na filamu ya hii ni laana aliyocheza na Gabo Zigamba
Mbali na filamu hiyo pia Kajala amecheza filamu kama vile Pishu na wake up ambazo pia zinafanya vizuri sokoni

No comments:

Post a Comment