Saturday 2 July 2016

MWANAHER YA MWANAHER KUINGIA SOKONI JUMATATU IJAYO

Filamu ya Mwanaheri inaingia sokoni jumatatu ijayo ikisambazwa na kampuni ya steps entertainment,filamu hiyo iliyochezwa na Riyama Ally,Mzee majuto,Frola Mvungi na Mwanaher mwenyewe ina kisa cha kusisimua ambacho kime "base" kwenye maisha halisi ya kitanzania

Akiongea na blog hii Mwanaheri amesema filamu hii ina mafundisho makubwa sana kwa watu walioingia kwenye ndoa na wanaume watu wazima

"filamu hii ina fundisha jinsi sisi watoto wa kike tunavyopata mitihani mingi baada ya kuolewa na watu wanaotuzidi miaka mingi"

Mbali na filamu hii Mwanaheri anatamba sokoni na filamu mbili Makusaro Pumu

No comments:

Post a Comment