Monday 18 July 2016

SIKITU YA KAJALA IMETOKA LEO

Filamu ya Sikitu kutoka kwa muigizaji mkubwa Tanzania Kajala Masanja imetoka leo,inasambazwa na kampuni ya Steps Entertainment

Kwenye filamu hiyo iliyoandikwa na kuongozwa na Leah Richard imechezwa pia na wasanii kama vile Asha Boko,Tausi,Hemedi na wengine wengi


No comments:

Post a Comment