Friday 2 September 2016

SIBUKA MAISHA WAICHUKUA KESHO YANGU

Filamu ya Kesho yangu leo saa tatu usiku inaingia kwenye histori ya kuwa filamu ya kwanza kutoka kampuni ya usambazaji steps entertainment kuonekana kwenye Sibuka Maisha channel 111 ndani ya startimes kabla ya kuingia sokoni

Filamu hiyo iliyochezwa na waigizaji wenye uwezo mkubwa kutoka Dodoma Sonnatah Nduka,Gosbert Mvungi na wengine wengi itaingia sokoni jumatatu ya wiki ijayo

No comments:

Post a Comment