Wednesday 28 September 2016


Leo tarehe 28 mwezi wa 9 mcheza filamu grade 1 kutoka bongo movie Wastara Juma amesaini mkataba wa miaka miwili kwenye kampuni ya simu KZG,kupitia ukurasa wake wa
 instagramamesemanimesain rasmi mkataba wa kuwa balozi wa company ya uuzaji wa sim ya china KZG

kuanzia leo mim wastara juma issa nimeanza rasmi kazi ya ubalozi wa KZG itakayoningizia milion 400 kwa mwake

kikubwa ni kunisupot kwa kila hatu naimani ndani ya mafanikio yangu nyuma yake kuna watanzania wenzangu wengi watakao nufaika na kujipatia vibarua kupitia wastara
asanteni kwa ushirikiano kwa wale woootw walihudhuria tukio hili.....

No comments:

Post a Comment