Friday 7 October 2016

SIBUKA MAISHA KUIONESHA FILAMU YA KOVU LEO USIKU KABLA YA KUINGIA SOKONI

Filamu ya Kovu inayotarajia kuoneshwa leo saa 3 usiku kupitia Sibuka Maisha channel 111 kwenye king'amuzi cha startimes kabla ya kuingia sokoni

Filamu hiyo inayoingia sokoni mwanzoni mwa wiki ijayo kupitia kampuni ya Steps entertainment imechezwa na wasanii wenye uwezo mkubwa  akiwemo Mzee Majuto na Almasi itaptikana nchi nzima

No comments:

Post a Comment