Filamu ya Kovu inayotarajia kuoneshwa leo saa 3 usiku kupitia Sibuka Maisha channel 111 kwenye king'amuzi cha startimes kabla ya kuingia sokoni
Filamu hiyo inayoingia sokoni mwanzoni mwa wiki ijayo kupitia kampuni ya Steps entertainment imechezwa na wasanii wenye uwezo mkubwa akiwemo Mzee Majuto na Almasi itaptikana nchi nzima
No comments:
Post a Comment