Monday 16 February 2015

NISHA:GABO AMENITELEKEZA KWENYE SHIDA


 Mcheza filamu za kitanzania anaefanya vizuri kila kukicha Salma Jabu Nisha ametelekezwa na msanii mwenzake kwenye filamu ya shida inayotoka mwezi huu mwishoni




Kwenye filamu hiyo Gabo amemtelekeza Nisha akiwa mjamzito,na hii ni mara ya kwanza kwa wawili hao kukutana kwenye filamu hivyo tegemeo kuona kitu kikubwa kutoka kwao inasambazwa na steps entertainment

No comments:

Post a Comment