Tuesday 25 August 2015

TAIYA ODERA:FILAMU YA KICHECHE NI HISTORIA MPYA

 Mcheza filamu za kitanzania anaekuja juu kwa kasi Taiya Odera amesema filamu ya kicheche ni historia mpya kwake kwani ajawai kucheza filamu ya aina hii tangu ameanza kuigiza
 Akiongea na mwandishi wa habari hii amesema filamu hii imempa jina la kicheche kwakua inazungumzia mwanamke ambaye ameolewa,alafu anaishi na shemeji zake lakini mwisho wa siku anatembea na shemeji zake wote wawili,bila kujijua mpaka badae ambapo inakuja kugundulika
 "kicheche ni filamu ambayo nimecheza kama binti ambae sijatulia kwenye ndoa yangu,nilikua nafanya ukicheche,badae mpaka nikaingia kwa wadogo wa mume wangu nikatembea nao wote kwa kuwadanganya vitu kila mmoja kwa nafasi yake bila kujijua na mwisho yanatokea madhala makubwa kwenye familia"
 fFilamu ya kicheche imechezwa na wasanii wengine kama vile Mlela,Isike,Luckey na wengine wengi,imeandikwa na kuongozwa na Leah Mwenda Mseke na inasambazwa na steps intertainment jinsi ya kuipata filamu hii wasiliana kwa namba  0713 570 581 na 0716 788805






No comments:

Post a Comment