Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu atimae mcheza filamu mkongwe Tanzania Issa Mussa maarufu kama Cloud 112 amerudi kwa kasi na filamu ya Muhanga akiwa na Barafu pamoja na Luckess Mokiwa
Filamu hiyo inayosukumwa mtaani na kampuni ya Steps entertainment inamuelezea mwanamke ambae ameolewa lakini ndoa yake inaingia dosari baada ya kukaa muda mrefu bila kubeba ujauzito
Atimae anashauriana na rafiki yake watafute mwanamke ambae ata beba ujauzito na mwisho wa siku mtoto akizaliwa amchukue kisili bila mama yake kujua
No comments:
Post a Comment