Tuesday 22 September 2015

CLOUD 112 AMERUDI NA MUHANGA

Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu atimae mcheza filamu mkongwe Tanzania Issa Mussa maarufu kama Cloud 112 amerudi kwa kasi na filamu ya Muhanga akiwa na Barafu pamoja na Luckess Mokiwa

Filamu hiyo inayosukumwa mtaani na kampuni ya Steps entertainment inamuelezea mwanamke ambae ameolewa lakini ndoa yake inaingia dosari baada ya kukaa muda mrefu bila kubeba ujauzito

Atimae anashauriana na rafiki yake watafute mwanamke ambae ata beba ujauzito na mwisho wa siku mtoto akizaliwa amchukue kisili bila mama yake kujua

No comments:

Post a Comment