Tuesday 17 May 2016

RACHEL BITULO AMEFANYA MAKUBWA KWENYE NIMEKOSEA WAPI

Mcheza filamu za kitanzania Rachel Bitulo ameonesha uwezo mkubwa kwenye filamu ya Nimekosea wapi amabyo imetoka mwanzoni mwa wiki hii

kwnye filamu hiyo amevaa uhusika wa watu wawili kwa wakati tofauti jambo ambalo limewashangaza wengi kwa jinsi alivyomudu kucheza nafasi hizo mbili bila kuionesha mapungufu yoyote
Mbali na Rachel filamu inayosambazwa na kampuni ya steps entertainment wamo Gabo zigamba na Man fizo uku wakipewa sapoti na wasanii wengine wengi pata nakala yako sasa ipo madukani

No comments:

Post a Comment