Monday 30 May 2016

KAJALA:NIMEJIFUNZA MENGI WAKATAI NASAMBAZA FILAMU YA PISHU

Mcheza filamu mwenye jina kubwa Kajala Masanja amesema amejifunza mambo mengi wakati anasambaza filamu ya Pishu kupitia kampuni yake ya Kajala entertainment

Amesema kikubwa kinachowashinda wengi wanaosambaza kazi zao ni kukulurupuka bila kulijua kiundani soko,linaitaji nini na jinsi ya kufikisha kazi kwa walaji wa mwisho bado imekua tatizo kubwa

"Ugumu unakuja mtu ujui soko linataka nini na jinsi ya kuwafikia wateja kwa wakati hii inatokana na mfumbo mbovu wa usambazaji uliopo ata msanii akitaka kusambaza kazi zake ajui atumie njia gani

Filamu ya Pishu iliyoongozwa na Lamata bado ipo madukani pata nakala yako halisi sasa

No comments:

Post a Comment