Monday 30 May 2016

ROSE NDAUKA ATEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA KUPATA BARAKA ZA FILAMU YAKE YA ANGELA

Rose Ndauka na watoto yatima
 Mcheza filamu mwenye jina kubwa Bongo Rose Ndauka mwishoni mwa wiki hii ametembelea kituo cha kulelea watoto yatima kilichopo Kigogo Dar es salaam na kuwapa zawadi ili apate baraka kwenye filamu yake ya Angela inayotoka leo
Rose Ndauka,Sharoasla na mlezi wa kituo

Rose Ndauka na team yake

Gomesa na Beatrice

No comments:

Post a Comment