Thursday 9 June 2016

KAJALA KUJA NA SIKITU MWEZI UJAO







Mcheza filamu za kitanzania Kajala Masanja anatarajia kuachia filamu yake ya Sikitu baada ya mwezi mtukufu wa ramadhani



Akipiga stori na blog hii Kajala amesema filamu hiyo aliyomshirikisha Hemedi Suleimani,Mzee Majuto,Asha boko na wengine wengi inafundisha jinsi ya kuishi na ndugu yako wakike kwa mumeo

No comments:

Post a Comment