Thursday 2 June 2016

KAJALA MASANJA KUJA NA SIKITU BAADA YA MWEZI WA RAMADHANI







Mcheza filamu mwenye jina kubwa Tanzania Kajala Masanja anatarajia kuachia filamu yake ya Sikitu baada ya mwezi mtukufu wa ramadhani, akifunguka kiafrika bila hofu yoyote amesema kwenye filamu huyo amecheza na wasanii mbali mbali akiwemo mzee Majuto na Hemed Suleiman itakuwa funzo kwa wanandoa wanaoishi na wadogo zao wa kike Kjala amesema filamu hiyo inasambazwa na kampuni kubwa ya usambazaji nchini steps entertainment

No comments:

Post a Comment