Filamu ya Gatekeeper kutoka kwa mcheza filamu mwenye jina kubwa nchini Ray imeingia sokoni leo
Filamu hiyo iliyojaa mastaa kama vile Kajala na Richi imetajwa kuwa filamu bora kuwai kutokea tangu kifo cha marehemu Kanumba
Filamu hiyo imezinduliwa wikendi iliyopita imeonekana kuteka hisia za watu wengi kutokana na mtililiko wa stori yake
ipo madukani nchi nzima itafute uone utofauti na uwezo mkubwa wa kuigiza uliofanywa na wasanii nguli kwenye tasnia ya filamu nchini
No comments:
Post a Comment