Wednesday 15 March 2017

UJIO MPYA WA VINCENT KIGOSI # GATE KEEPER







Filamu ya Gatekeeper kutoka kwa mcheza filamu Vicent Kigosi (Ray) imeingia sokoni wiki iliyopita na kufanya mapinduzi ya filamu nchini



mashabiki wa filamu wametoa maoni yao kuhusiana na filamu hiyo jinsi ilivyochezwa kwamba ni tofauti na filamu zake zote zilizopita



filamu hiyo imewausisha wachezaji wakongwe kwenye tasnia akiwemo Single Mtambalike (richi) Hidaya Njaidi na Mr masinde uku ikibeba chipukizi wengi kwenye game ya filamu nchini

No comments:

Post a Comment