Wednesday 4 March 2015

BAADA YA SERENGETI BOY KUSEMA KAFAIDI PENZI LA WOLPER,HAYA NDIO MAJIBU YA WOLPER KUPITIA INSTAGRAM


wolperstylishEmbu Tusaidiane Waungwana humu insta hapa nashtaki Gazeti au Namshtak huyu mdogo wangu Ambae ata mdogo wangu alienifwata Mimi ni mkubwa kwake na nimrefu pia kwke nisaidieni tuu#maana kwanza ata Famly yangu na Mwanaume wangu akiona ili gazet ni Fedhea na 

Aibu kubwa#sikatai mapenzi Akuna ukubwa wala utoto lkn Mimi binafsi sijapenda kilichoandikwa ktk hili gazet .jamani ungwana uko wapi hapa?? je kijana ulieandikwa hapa naomba uthibitishe ni lini 

umenivua nguo kwamaandishi namatamshi Maana hili stolifumbia Macho nitakufunga nautoamin katika Maisha yako.kikubwa nataka kujua nikwel umeenda kwenye gazet nakuongea nilichokisoma au laah#naningekua najua pakupata namba yako ningekupgia nautamke kwakinywa chako lkn ata hyo 

nguvu yakutafuta namba yako nimekosa#narudia tena nilini umenivua nguo yangu nakujamiana na Mimi jacqueline wolper Massawe mwenye sura hyo hapo labda majina tunafanana naata sura je tunafanana?? ni lini Tumefanya hcho kitendo Bingwa???

No comments:

Post a Comment