Wednesday 11 March 2015

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KAMPUNI YA STEPS ENTERTAINMENT

Kampuni ya steps entertainment inatangaza nafasi za kazi kwa vijana wa kitanzania umri kuanzia miaka 18 hadi 30.

SIFA ZA MUOBAJI

1.Miaka 18-30
2.Asiwe na historia yoyote ya wizi
3.Awe tayari kufanya kazi muda wowote
4.Elimu kuanzia darasa la Saba

Usaili utafanyika kiwandani maeneo ya kipawa siku ya jumamosi tarehe 14.03.2015 saa mbili asubuhi 

kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa simu namba 255 786 351 432 au 0652202316

No comments:

Post a Comment