Tuesday 24 March 2015

HUYU NDIO SABBY ANGEL WASIO RIZIKI




Mcheza  filamu na muombaji wa nyimbo za kizazi kipya Sabby Angel amesema filamu yake yasio riziki ni historia ya kweli kalibu filamu nzima maisha ameyapitia

Amesema muongozaji wa filamu hiyo na alieandika muswaada ni Kulwa kikumba maarufu kama Dude na filamu imechezewa nchini Kenya

Mbali ya Dude pia yumo Tino na Mzee Majuto,hii filamu sio ya kukosa inasmbazwa na steps entertainment kuipata kwa jumla na reja reja wasiliana kwa namba 0713 57 05 81

No comments:

Post a Comment