Saturday 14 March 2015

Rammy Kuja na Zakayo Akiwa na Shamsa Ford


Staa wa Bongo Movies, Rammy Galis baada ya kufanya vizuri kupitia filamu yake ya Vocha  anakuja na filamu yake ya Zakayo inayotoka hivi karibuni.
Kwenye filamu hiyo amemshirikisha nyota mwingine wa bongo movie Shamsa Ford,na wengine wengi,filamu hii inauhusu usaliti kwenye mapenzi, hii ni mara ya pili kwa Shamsa Ford na Rammy kufanya kazi pamoja kama utakumbuka wamewai kucheza kwenye filamu ya Chausiku inayosumbua mpaka sasa sokoni.
Wadau na mashabiki kaeni mkao wa kula.

No comments:

Post a Comment