Thursday 5 March 2015

IRENE PAUL:NILIAMINI NIKIZAA NA MUME WA RAFIKI YANGU NITAOKOA NDOA YAKE KUMBE SIVYO NILIVYOFIKILIA MIMI

 Irene Paul ameingiza mtaania filamu yake ya F.R.I.E.N.D.Z  akiwa na wasanii wenzake Mlela na Chuchu Hansi,filamu hiyo inayosambazwa na kampuni kubwa ya steps entertainment inausu familia mbili zilizoshibana sana lakini baadae zinakuja kugombana baada ya usaliti wa mapenzi kuingia kati kati na kuvuruga ndoa zao


Irene Paul amesema kuwa filamu hiyo inamafundisho makubawa kwa mabinti wanaotoa mimba wakiwa mashuleni,kama unaitaka filamu hii wasiliana na 073 570581 sasa

No comments:

Post a Comment