Saturday 15 November 2014

FILAMU YAVOCHA YA RAMY GALIS IMEVUNJA REKODI YA KANUMBA KWENYE BODI YA FILAMU




Filamu mpya na ya kipee kutoka kwa mcheza filamu Ramy Galis imevunja rekodi kwenye bodi ya filamu Tanzania kwa kupata daraja A

Kupitia ukurasa wake wa facebook Galis ameandika

 Vocha ni Filamu ambayo imepata daraja ya 'A' Kutoka kwenye board ya wakaguzi wa FILAMU Tanzania , Record hio ikiwa ilishikiliwa na Marehm ST.C.Kanumba Nashkuru Mungu na Wewe Pia!

Filamu ya Vocha imechezwa na wasanii kama vile Hemedy,Hamisa Mobeto,Rammy Galis na wasanii wengine wengi inatoka jumatatu usikose nakala yako kwani inasambazwa na kampuni kubwa ya steps entertainment

No comments:

Post a Comment