Thursday 6 November 2014

AUNT EZEKIEL;HAKUNA AWEZAYE KUFUMBUA MACHO NA KUTAMBUA MASAA MACHACHE YAJAYO ISIPOKUWA MUNGU PEKEE



 Filamu ya Utamu wangu inayowashirikisha wasanii wenye majina makubwa nchini akiwemo Luckey Luckamo,Neema Ndepanya na Aunt Ezekiel imetoka leo,inasambazwa nchi nzima na kampuni ya steps entertainment
Filamu hiyo iyoongozwa na Luckey Luckamo ni ya kimapenzi inayohusu thamani ya mtu inatakiwa kudhihirishwa bila kungoja kesho kwani binadaamu tumepewa dhamana ya kuijua leo,Hakuna awezaye kufumba macho na kutambua masaa machache yajayo isipokuwa mungu pekee

No comments:

Post a Comment