Monday 3 November 2014

DIAMOND PLATINUM AMESAPOTI RAY KWENYE FILAMU MPYA YA V.I.P

 Msanii ambae napeperusha vizuri bendera ya taifa letu kwa hivi sasa kupitia mziki wake  Diamond Platinum  ameonesha mapenzi na tasnia ya filamu nchini baada ya hivi karibuni kumsapoti mcheza filamu mwenye jina kubwa nchini Vicent Kigosi (Ray) kwa kuwaomba mashabiki wake kununua filamu  yake mpya ya V.I.P amabayo imetoka mwishoni mwa mwezi ulipita
kupia ukurasa wake kwenye mitandao ya kijamii Diamond ameweka picha ya cover la filamu hiyo na kuandika hivi

'jus another one from #RjCompany , Je Umeshapata Nakala yako....???..Have you got your Copy???... #VIP'

Filamu hiyo inasambazawa na kampuni kubwa ya usambazaji filamu zenye ubora ya steps entertainment inapatikana kwenye maduka na bongo shop zote hapa Tanzania pata nakala yako

No comments:

Post a Comment