Wednesday 5 November 2014

RAMMY GALIS MATATANI KUFIKISHWA MAHAKAMANI NOVEMBER 17

Mcheza filamu za kitanzania Rammy Galis ambaye amejizolea umaarufu mkubwa kwenye filamu kama vile Snitch na chausiku anadaiwa kukamatwa uko Arusha na uenda akafikishwa mahakamani november 17 mwaka huu

Akiongea na blog hii mmoja kati ya watu walioshuudia timbwili zima wamesema mcheza filamu huyo amekubwa na soo hilo maeneo ya Njiro mjini humo

Mpaka sasa bado tuanendelea kufatilia sakata hilo na hivi punde tutawajulisha kinachoendelea,

Rammy Galis anatarajia kuachia filamu yake mpya inayokwenda kwa jina la Vocha akiwa na msanii Hemedi na wengine wengi na inasambazwa na steps entertainment usikose nakala yako

No comments:

Post a Comment