Pia Niva amekua akibadilika kila mara kama alivyokua anafanya Kanumba kwa kucheza uhusika wa sehemu yoyote jambo ambalo linamfanya ajiongezee mashabiki wengi
Ukiangalia filamu yake ambayo inasumbua kwa hivi sasa nchini ya Najuta Mie ambayo amecheza na Nikita na Mam tei ambao ni zao la tamthilia ya Jumba la Dhahabu utagundua msanii huyu ni miongoni mwa wasanii watakaofika mbali sana endapo akizidi kujituma zaidi na kuwa na heshima kwa mashabiki
Filamu ya Najuta Mie ip madukani Tanzania nzima itafute uone utofauti na uwezo mkubwa alionao mcheza filamu Niva Zubery
No comments:
Post a Comment