Monday 10 November 2014

FILAMU YA ITIKADI YAIGIA SOKONI LEO

Filamu iliyowashirikisha mastaa wa kubwa kwenye filamu kama vile Tino na Gabo inayokwenda kwa jina la Itikadi imeingia sokoni leo ikisambazwa na kampuni kubwa ya usambazaji Afrika Mashariki Steps entertainment,
Filamu hiyo inahusu Baba mmoja ambae anamlazimisha kijana wake kumuoa msichana asiyempenda,anapokataa anatumia nguvu za giza kutimiza matakwa yake.
 Je nini kinatokea usikose nakala yako halisi kuanzia leo wai madukani 

No comments:

Post a Comment