Monday 22 December 2014

FILAMU YA HAKUNA MATATA IMETOKA LEO

Filamu ya Salma Jabu Nisha,inayokwenda kwa jina la Hakuna Matata imetoka leo chini ya kampuni kubwa ya usambazaji nchini Steps entertainment,

Filamu hiyo ambayo imeongozwa na muongozaji bora wa kike nchini Lamata na kupigwa picha na Kabuti Onyango imewashirikisha mastaa wengine kama vile Mau,Hemed,Tausi na Gwiji wa vichekesho nchini King Majuto

sio ya kukosa yani Hakuna Matata

No comments:

Post a Comment