Monday 8 December 2014

FILAMU MTUNIS,TUGAWANE MAUMIVU YAINGIA SOKONI LEO

 Filamu ya mtunis inayokwenda kwa jina la Tugawane maumivu imeingia sokoni leo ikisambazwa na kampuni ya steps entertainment.
Filamu hiyo imechezwa na wasanii wenye majina makubwa nchini kama vile Rammy Galis,Chuchu Hansi na Esha Buheti
Filamu hii yenye kisa cha kimapenzi ambacho kimechezwa kwa kwa umakini mkubwa inapatikana kwenye maduka yote Tanzania wai nakala yako sasa

No comments:

Post a Comment