Filamu ya Jina Langu iliyochezwa na wasanii chipukizi kutoka mkoani Dodoma inasubiliwa kwa hamu kubwa na wadau wa filamu nchini kwani imechezwa kwa kiwango kikubwa sana
Akifunguka kiafrika bila hofu yoyote muandaaji wa filamu hiyo Sulesh Mara amesema filamu hiyo imechezwa na wasanii kutoka kanda ya kati ambao wanauwezo mkubwa sana kisanaa
Filamu hiyo inatoka hivi karibuni na inasambazwa na kampuni ya steps entertainment usikose nakala yako sasa
No comments:
Post a Comment