“Ahasanteni wapendwa kwa sapoti yenu kubwa mlioionyesha kwa kununua film yangu mpya hakika nimeamini huwezi kuchukiwa na wote hii imedhihilisha ktk kz yangu hii ya TUGAWANE MAUMIVU na kuifanya iwe ndio habari ya mjini kwa sasa nawaomba endeleeni kuniunga mkono wapendwa mungu awabariki sana amen”.
Mashabiki wengi waneonyesha kuipenda na kuikubali kazi yake hii kwani ina dhana mpya ambayo imewagusa wengi, akizungumzia mrejesho huu Mtunisy alisema
“Nashukuru ndugu zangu siku hizi mtu akikuumiza nawe muumize tu mradi mugawane maumivu iweje yeye akuumize na asiumie bwana!tuumizane tu habari ndio hiyo”.
Hiyo ndio dhana nzima ya filamu hiyo ya Munisy, TUGAWANE MAUMIVU ambayo imejumuisha wakali kama, Chuchu Hans, Rammy Galis, Mukly Ismail na Nice Mohammed mwenyewe. imefanyika chini ya STEPS ENTERTAINMENT.
Jipatie nakala yako halisi kumsapoti wasanii wetu wa Tanzania.
No comments:
Post a Comment