Thursday 4 December 2014

Happy birthday kwa kaka yetu JB. Swahili filamu tunakuombea uishi maisha marefuuuuu...!

Mwakani panapo majaliwa ya mwenyezi mungu mwezi wa kwanza anatarajia kuachia filamu mpa inayokwenda kwa jina la mzee wa swagga akiwa na wasnii nyota kama Wastara,Tea,Welu sengo na Grace kabitwa kutoka nchini Zambia

No comments:

Post a Comment