Filamu mpya ya Mzururaji imeingia sokoni leo ikisambazwa na kampuni ya steps entertainment,filamu hiyo ambayo imeandikwa na Takura Maurayi inategemewa kufanya vizuri sokoni kutokana na story yake kuwa ya tofauti
akichezesha taya mmoja wawausika kwenye filamu hiyo Ayoub Kondo amesema kwenye filamu hiyo wamejaribu kuelezea kuwa sio kila mzururaji ukazani amepotea njia na sio kila kinga aacho ukajua nia dhahabu,miguu ndio silaha ya mwisho kabisa binadamu kaskazini,magharibi,kusini na mashariki ubinadamu wa damu
filamu hii inapatikana Tanzania nzima kwa bei poa kabisa pata nakala yako
No comments:
Post a Comment