Jacob amesema amekuwa akiwasikiliza sana mashabiki wake na kuwapa vitu wanavyovitaka ndio maana amewatendea haki kwa kukubali maombi yao,kupitia ukurasa wake wa instagram amesema
"WADAU WA JERUSALEM MNAKUMBUKA NILIOMBA MCHAGUE WAIGIZAJI WA MOVIE YANGU MPYA.TAYARI NIKO ARUSHA NA BAADHI YAO.KISHA TUTAENDA DODOMA,ZANZIBAR, NA TUTAMALIZIA DAR.ASANTENI"
Akiwa na maana ya Wastara,Thea na Cassie kabwita kutoka Zambia
Kwenye filamu hiyo inayotarajiwa kuingia sokoni kesho pia yumo mwana dada Welu Sengo amabae nae ameonesha uwezo ,mkubwa
Filamu hiyo inasambazwa na kampuni kubwa ya steps entertainment na kwa mtu yoyote aaneitaka basi awasiliane kwa namba na
No comments:
Post a Comment