Thursday 29 January 2015

FILAMU YA MZEE WA SWAGGA YAINGIA SOKONI LEO

 Filamu ya Jacob Stephen inayokwenda kwa jina la Mzee wa swagga imeingia sokoni leo,filamu hiyo iliyochezwa Arusha,Zanzibar,Dodoma na hapa Dar es salaam imewajuisha wacheza filamuw enye majina makubwa Afrika mashariki akiwemo Wastara Juma,Welu Sengo,Cassie Kabwita pamoja na Ndumbagwe Misayo maarufu kama Thea
JB amesema filamu hiyo inaelezea kwamba kila mtu anamaisha amabayo anayapenda pengine yanaweza kuwakwaza wengine lakini hayo ndio yakawa maisha yake poleni wote niliowaumiza mzee wa swaga

filamu hii imetoka na inasambazwa na steps intertainment pata nakala yako sasa

No comments:

Post a Comment