Monday 12 January 2015

WILLIAMU MTITU NA BOND BIN SINAN WATIBUANA FACEBOOK KISA BONDI KUTETEA KAMPUNI YA STEPS KUSHA BEI YA FIALMU ZAKE

  • 0 hrs · Like
  • William Mtitu Kabuti nimeitika kaka plz mimi siongei na vibaraka wa diresh ambao ili waende chooni lazima diresh acheke ambao miaka mitatu nyuma awakuwepo katika hii tasnia leo wanaongea sana kutetea usenge wanaotaka kuuleta katika hii tasnia eti wana uchungu na tasnia na STEPS usenge huu kwanza plz BOND NAKUHESHIMU SANA SITAKI TENA ULITAJE JINA LANGU KOKOTE KULE MIMI SIO RAFIKI YANGU NA ATUNA MAHUSIANO YEYOTE NA WEWE WALA KAMPUNI YANGU ATA KIPINDI CHAKO BATTLE YANGU NA DIRESH AIKUHUSU HATA KIDOGO.


  • 20 hrs · Like · 2
  • Bond Bin Sinnan Huyo ndio William Mtitu anesema anauchungu na ananiheshimu ambae Kabuti Onyango amemuita aje aweke hoja yake kwann hataki bei ishushwe na ili tasnia ipate hadhi na wasanii wasiwe ma malaya na majambazi ananitukana na hataki jina lake nilitaje popote nadhani mwenye akili timamu na mwenye uchungu na tasnia hii kashazijua mbivu na mbichi. Nisamehe kaka Mtitu na hakuna sehemu nimekutukana au kukukashifu na pia sijakuita hapa ni sijakutag na post yangu. Pia wewe umelitaja jina langu basi tuwe na amani tu. Pigania mkate wako na mimi na ukibaraka na njaa yangu ntaendelea kuwa navyo. Ila mwisho wa siku ukweli utabaki palepale. Asantee
    20 hrs · Like · 1

No comments:

Post a Comment