Wednesday 14 January 2015

FILAMU YA MIKONO SALAMA NI HISTORIA KWA JB

 Filamu ya mikono salama ni historia kwa JB kwakua ndio filamu ya mwisho kushiriki na marehemu Adamu Kuambiana,filamu hiyo imewashirikisha mastaa wengine kama vile Joketi na RIchie



Inasambazwa na kampuni ya steps entertainment pata nakala yako sasa uone kitu alichokifanya Adamu kuambianai

No comments:

Post a Comment