Thursday 30 October 2014

FILAMU MPYA YA RAY AKIWA NA GABO,AMISA MABETO NA WOLPER YAINGIA SOKONI LEO INAITWA V.I.P

 Filamu mpya ya Ray inayoitwa V.I.P (The president's Daughter imeingia sokoni leo ikisambazwa na kampuni kubwa ya steps entertainment
RAY NA WOLPER
 Filamu hiyo inayomuhusu binti ambae ni mtoto wa Raisi imechezwa na mastaa kadhaa akiwemo Gabo,Wolper,Amisa Mabeto na Ray mwenyewe inategemewa kupokelewa vizuru kutokana na aina ya story hiliyopo ndani yake
GABO NA WOLPER



Akielezea kwa kifupi filamu hiyo Ray amesema hivi..........

''Tangu nimezaliwa paka kufika leo, nimekuwa naishi maisha feki, hayakuwa maisha yangu, tangu nimezaliwa nimekuwa naelekezwa kila kitu cha kufanya, mda wa kuamka,mda wa kulala,namna ya kula ili nionekane mstaarabu,nani aina ya rafiki ninayetakiwa kuwa naye na ni nani nisiwe nae,na kuwa hivyo

 ndivyo ustaarabu. Mtu asiye na sifa izo nikimuona sio msataarabu au nikamita majina mbalimbali ka, a mswahili na mengineyo lakini yote hayo nimegundu kuwa ni mawazo ya watu wengine,maisha yangu yote hayo naishi maisha yatakayokuwa na mawazo ya watu wengine,sijapata fursa ya kujua ninachotaka hasa... hii leo ninafurahi kwasababu ninaanza kujijua mimi ni nani na kwa siku izi ninataka niishi mimi Sharon,Sio mtoto wa Rais..''

No comments:

Post a Comment