Friday 24 October 2014

NISHA: SIJAFULIA JAMANI

BAADA ya saluni yake iliyopo Sinza jijini Dar kufungwa huku uvumi wa kudaiwa kufulia ukimuandama, msanii wa filamu, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka kuwa uvumi huo hauna ukweli.

Nisha alisema biashara yake ya saluni ipo kama kawaida ila ameihamishia maeneo ya Chuo Kikuu - Mlimani kwa kuwa eneo la awali halikuwa na nafasi kubwa.
“Sijafulia hata kidogo hayo ni maneno tu yanayozagaa, saluni yangu nimeihamishia Mlimani jamani, nashangaa kweli kwa wanaosema nimefulia,”

Nisha kwasasa anashikilia tuzo ya action and cut kama mchekeshaji bora wa kike uku filamu zake kama tikisa na gumzo zikizidi kufanya vizuri sokoni chini ya kampuni bora kabisa ya usambaziji stepsentertainment

No comments:

Post a Comment