Monday 27 October 2014

KAMA ULIPITWA NA PICHA ZA WASTARA ALIPOTEMBELEA HOSPITAL YA AMANA HIZI HAPA




Mcheza filamu mwenye sifa ya kucheza filamu za kuuzunisha Wastara Juma ametembelea hospital ya Amana na kuwapa msaada wa mama wajawazito

Wastara kwa hivi sasa ametikisa soko la filamu kwa filamu mpya ya Uaminifu Dhaifu ambayo amecheza na Bond Bin Sinnan

No comments:

Post a Comment